Mwanzo 49:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Yosefu ni chipukizi la mti unaozaa matunda,+ chipukizi la mti unaozaa matunda kando ya chemchemi,+ ambao husukuma mbele matawi yake juu ya ukuta.+ Kumbukumbu la Torati 33:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na Yosefu akamwambia:+“Nchi yake na ibarikiwe daima na Yehova+Kwa vitu bora vya mbinguni, kwa umande,+Na kwa kilindi cha maji kilicho chini,+
22 “Yosefu ni chipukizi la mti unaozaa matunda,+ chipukizi la mti unaozaa matunda kando ya chemchemi,+ ambao husukuma mbele matawi yake juu ya ukuta.+
13 Na Yosefu akamwambia:+“Nchi yake na ibarikiwe daima na Yehova+Kwa vitu bora vya mbinguni, kwa umande,+Na kwa kilindi cha maji kilicho chini,+