Yoshua 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kisha mpaka huo ukaendelea kutoka hapo hadi Luzi,+ kwenye mteremko wa kusini wa Luzi, yaani, Betheli;+ na mpaka huo ukashuka hadi Ataroth-adari+ juu ya mlima ulioko upande wa kusini wa Beth-horoni ya Chini.+
13 Kisha mpaka huo ukaendelea kutoka hapo hadi Luzi,+ kwenye mteremko wa kusini wa Luzi, yaani, Betheli;+ na mpaka huo ukashuka hadi Ataroth-adari+ juu ya mlima ulioko upande wa kusini wa Beth-horoni ya Chini.+