Hesabu 35:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na Yehova akaendelea kusema na Musa kwenye nchi tambarare za jangwa la Moabu kando ya Yordani,+ huko Yeriko, na kumwambia: Yoshua 18:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na mpaka wao ukawa katika pembe ya kaskazini kutoka Yordani, na mpaka huo ukapanda hadi kwenye mteremko wa Yeriko+ upande wa kaskazini na kupanda kwenye mlima upande wa magharibi, na mwisho wake ukawa katika nyika ya Beth-aveni.+
35 Na Yehova akaendelea kusema na Musa kwenye nchi tambarare za jangwa la Moabu kando ya Yordani,+ huko Yeriko, na kumwambia:
12 Na mpaka wao ukawa katika pembe ya kaskazini kutoka Yordani, na mpaka huo ukapanda hadi kwenye mteremko wa Yeriko+ upande wa kaskazini na kupanda kwenye mlima upande wa magharibi, na mwisho wake ukawa katika nyika ya Beth-aveni.+