12 Nao wakamletea Musa na Eleazari kuhani na kusanyiko la wana wa Israeli mateka na nyara na vitu vilivyoporwa, mpaka kambini, mpaka nchi tambarare za jangwa la Moabu,+ kando ya Yordani huko Yeriko.
13 Hizi ndizo amri+ na maamuzi ya hukumu ambayo Yehova aliwaamuru wana wa Israeli kupitia Musa, katika nchi tambarare za jangwa la Moabu kando ya Yordani, huko Yeriko.+