Hesabu 26:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye Musa na Eleazari+ kuhani wakaanza kusema nao katika nchi tambarare za jangwa la Moabu+ kando ya Mto Yordani huko Yeriko,+ na kuwaambia: Hesabu 33:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Na Yehova akasema na Musa katika nchi tambarare za jangwa la Moabu kando ya Yordani, kule Yeriko,+ na kumwambia: Hesabu 35:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na Yehova akaendelea kusema na Musa kwenye nchi tambarare za jangwa la Moabu kando ya Yordani,+ huko Yeriko, na kumwambia:
3 Naye Musa na Eleazari+ kuhani wakaanza kusema nao katika nchi tambarare za jangwa la Moabu+ kando ya Mto Yordani huko Yeriko,+ na kuwaambia:
50 Na Yehova akasema na Musa katika nchi tambarare za jangwa la Moabu kando ya Yordani, kule Yeriko,+ na kumwambia:
35 Na Yehova akaendelea kusema na Musa kwenye nchi tambarare za jangwa la Moabu kando ya Yordani,+ huko Yeriko, na kumwambia: