Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 35:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Wana wa Raheli walikuwa Yosefu na Benyamini.

  • Mwanzo 45:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi Yosefu akawaambia ndugu zake: “Tafadhali, nikaribieni.” Basi wakamkaribia.

      Kisha akawaambia: “Mimi ni Yosefu ndugu yenu, mliyemuuza Misri.+

  • Kumbukumbu la Torati 33:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na Yosefu akamwambia:+

      “Nchi yake na ibarikiwe daima na Yehova+

      Kwa vitu bora vya mbinguni, kwa umande,+

      Na kwa kilindi cha maji kilicho chini,+

  • Matendo 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na wale vichwa vya familia wakamwonea Yosefu wivu+ na kumuuza Misri.+ Lakini Mungu alikuwa pamoja naye,+

  • Ufunuo 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 kutoka kabila la Zabuloni+ kumi na mbili elfu;

      kutoka kabila la Yosefu+ kumi na mbili elfu;

      kutoka kabila la Benyamini+ kumi na mbili elfu waliotiwa muhuri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki