Mwanzo 37:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Wanaume, wanabiashara Wamidiani,+ wakapitia hapo. Basi wakamvuta na kumpandisha Yosefu kutoka katika lile shimo la maji+ kisha wakamuuza kwa wale Waishmaeli kwa vipande 20 vya fedha.+ Mwishowe wanabiashara hao wakampeleka Yosefu Misri. Mwanzo 45:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi Yosefu akawaambia ndugu zake: “Tafadhali, nikaribieni.” Basi wakamkaribia. Kisha akawaambia: “Mimi ni Yosefu ndugu yenu, mliyemuuza Misri.+ Zaburi 105:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Akamtuma mtu mbele yao,Ambaye aliuzwa awe mtumwa, Yosefu.+
28 Wanaume, wanabiashara Wamidiani,+ wakapitia hapo. Basi wakamvuta na kumpandisha Yosefu kutoka katika lile shimo la maji+ kisha wakamuuza kwa wale Waishmaeli kwa vipande 20 vya fedha.+ Mwishowe wanabiashara hao wakampeleka Yosefu Misri.
4 Basi Yosefu akawaambia ndugu zake: “Tafadhali, nikaribieni.” Basi wakamkaribia. Kisha akawaambia: “Mimi ni Yosefu ndugu yenu, mliyemuuza Misri.+