15 Kwa maana kwa kweli nilitekwa nyara kutoka katika nchi ya Waebrania;+ na hapa pia sijafanya jambo lolote kamwe hata wanitie katika tundu hili la gereza.”+
7 “Ikiwa mtu atapatikana akiteka nyara+ nafsi ya ndugu zake wa wana wa Israeli, naye amemtendea kwa uonevu na kumuuza,+ mteka-nyara huyo lazima afe. Nawe lazima uondolee mbali lililo baya kutoka katikati yako.+