13 Baada ya hayo mtu aliyekuwa ameponyoka akaja na kumwambia Abramu Mwebrania.+ Wakati huo alikuwa akikaa kati ya miti mikubwa ya Mamre yule Mwamori,+ ndugu ya Eshkoli na ndugu ya Aneri;+ nao walikuwa washirika wa Abramu.
28 Wanaume, wanabiashara Wamidiani,+ wakapitia hapo. Basi wakamvuta na kumpandisha Yosefu kutoka katika lile shimo la maji+ kisha wakamuuza kwa wale Waishmaeli kwa vipande 20 vya fedha.+ Mwishowe wanabiashara hao wakampeleka Yosefu Misri.
12 Na kijana mmoja alikuwa humo pamoja nasi, Mwebrania,+ mtumishi wa mkuu wa walinzi.+ Tulipomsimulia,+ akatutafsiria ndoto zetu. Akamtafsiria kila mmoja kama ilivyokuwa ndoto yake.