Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Baada ya hayo mtu aliyekuwa ameponyoka akaja na kumwambia Abramu Mwebrania.+ Wakati huo alikuwa akikaa kati ya miti mikubwa ya Mamre yule Mwamori,+ ndugu ya Eshkoli na ndugu ya Aneri;+ nao walikuwa washirika wa Abramu.

  • Mwanzo 37:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Wanaume, wanabiashara Wamidiani,+ wakapitia hapo. Basi wakamvuta na kumpandisha Yosefu kutoka katika lile shimo la maji+ kisha wakamuuza kwa wale Waishmaeli kwa vipande 20 vya fedha.+ Mwishowe wanabiashara hao wakampeleka Yosefu Misri.

  • Mwanzo 41:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na kijana mmoja alikuwa humo pamoja nasi, Mwebrania,+ mtumishi wa mkuu wa walinzi.+ Tulipomsimulia,+ akatutafsiria ndoto zetu. Akamtafsiria kila mmoja kama ilivyokuwa ndoto yake.

  • Kutoka 21:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Naye anayemteka nyara mtu+ na kumuuza+ au ambaye mikononi mwake huyo aliyetekwa amepatikana lazima auawe.+

  • Matendo 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na wale vichwa vya familia wakamwonea Yosefu wivu+ na kumuuza Misri.+ Lakini Mungu alikuwa pamoja naye,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki