Waamuzi 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wakati huo palikuwa na mtu mmoja wa Sora+ wa familia ya Wadani,+ na jina lake lilikuwa Manoa.+ Na mke wake alikuwa tasa naye hakuwa amezaa mtoto yeyote.+ 1 Mambo ya Nyakati 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye Reaya+ mwana wa Shobali, yeye alikuwa ni baba ya Yahathi; naye Yahathi akamzaa Ahumai na Lahadi. Hizo ndizo zilizokuwa familia za Wasorathi.+
2 Wakati huo palikuwa na mtu mmoja wa Sora+ wa familia ya Wadani,+ na jina lake lilikuwa Manoa.+ Na mke wake alikuwa tasa naye hakuwa amezaa mtoto yeyote.+
2 Naye Reaya+ mwana wa Shobali, yeye alikuwa ni baba ya Yahathi; naye Yahathi akamzaa Ahumai na Lahadi. Hizo ndizo zilizokuwa familia za Wasorathi.+