Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na wana wa yule Mkeni,+ ambaye Musa alikuwa mwana-mkwe wake,+ wakapanda kutoka katika lile jiji la mitende+ pamoja na wana wa Yuda, wakaingia katika nyika ya Yuda, iliyoko upande wa kusini wa Aradi.+ Ndipo wakaenda, wakaanza kukaa na watu hao.+

  • Waamuzi 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini Heberi+ Mkeni alikuwa amejitenga na Wakeni,+ wana wa Hobabu, ambaye Musa alikuwa mwana-mkwe wake,+ naye alikuwa amelisimamisha hema lake karibu na ule mti mkubwa kule Saananimu, ambao uko katika Kedeshi.

  • 1 Samweli 15:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Wakati huohuo, Sauli akawaambia Wakeni:+ “Nendeni, ondokeni,+ shukeni kutoka katikati ya Waamaleki, nisije nikawafagilia mbali ninyi pamoja nao. Ninyi mliwatendea fadhili zenye upendo wana wote wa Israeli+ walipokuwa wakipanda kutoka Misri.”+ Basi hao Wakeni wakaondoka katikati ya Amaleki.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki