1 Mambo ya Nyakati 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye Kalebu mwana wa Hezroni,+ akazaa wana kupitia kwa Azuba mke wake na kupitia kwa Yeriothi; na hawa ndio waliokuwa wana wa mke wake: Yesheri na Shobabu na Ardoni.
18 Naye Kalebu mwana wa Hezroni,+ akazaa wana kupitia kwa Azuba mke wake na kupitia kwa Yeriothi; na hawa ndio waliokuwa wana wa mke wake: Yesheri na Shobabu na Ardoni.