1 Mambo ya Nyakati 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kalebu* mwana wa Hezroni aliwazaa wana kupitia Azuba mke wake na kupitia Yeriothi; na hawa ndio waliokuwa wana wa Azuba: Yesheri, Shobabu, na Ardoni.
18 Kalebu* mwana wa Hezroni aliwazaa wana kupitia Azuba mke wake na kupitia Yeriothi; na hawa ndio waliokuwa wana wa Azuba: Yesheri, Shobabu, na Ardoni.