14 “Yairi+ mwana wa Manase alichukua eneo lote la Argobu+ hadi mpaka wa Wageshuri+ na Wamaakathi,+ naye akaviita vijiji hivyo vya Bashani kwa jina lake mwenyewe, Hawoth-yairi,+ mpaka leo hii.
30 Na eneo lao likawa kutoka Mahanaimu+ na Bashani yote, ufalme wote wa Ogu mfalme wa Bashani,+ na vijiji vyote vya mahema vya Yairi+ vilivyo katika Bashani, miji 60.