Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 35:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa hiyo Raheli akafa na kuzikwa njiani kuelekea Efrathi, yaani, Bethlehemu.+

  • Ruthu 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nao wote wawili wakaenda mpaka walipofika Bethlehemu.+ Ikawa mara tu walipofika Bethlehemu, habari zao zikavuma kote jijini,+ nao wanawake wakauliza-uliza: “Je, huyu ni Naomi?”+

  • Ruthu 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na, tazama! Boazi akaja kutoka Bethlehemu na kuwaambia wavunaji: “Yehova na awe pamoja nanyi.”+ Nao wakamjibu: “Yehova na akubariki wewe.”+

  • Mathayo 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Baada ya Yesu kuzaliwa katika Bethlehemu+ ya Yudea siku za Mfalme Herode,+ tazama! wanajimu+ kutoka sehemu za mashariki walikuja Yerusalemu,

  • Yohana 7:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Je, Andiko halijasema kwamba Kristo anakuja kutoka kwa uzao wa Daudi,+ na kutoka Bethlehemu+ kijiji ambako Daudi alikaa?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki