Mwanzo 35:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo Raheli akafa na kuzikwa njiani kuelekea Efrathi, yaani, Bethlehemu.+ Ruthu 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nao wote wawili wakaenda mpaka walipofika Bethlehemu.+ Ikawa mara tu walipofika Bethlehemu, habari zao zikavuma kote jijini,+ nao wanawake wakauliza-uliza: “Je, huyu ni Naomi?”+ Ruthu 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na, tazama! Boazi akaja kutoka Bethlehemu na kuwaambia wavunaji: “Yehova na awe pamoja nanyi.”+ Nao wakamjibu: “Yehova na akubariki wewe.”+ Mathayo 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Baada ya Yesu kuzaliwa katika Bethlehemu+ ya Yudea siku za Mfalme Herode,+ tazama! wanajimu+ kutoka sehemu za mashariki walikuja Yerusalemu, Yohana 7:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Je, Andiko halijasema kwamba Kristo anakuja kutoka kwa uzao wa Daudi,+ na kutoka Bethlehemu+ kijiji ambako Daudi alikaa?”+
19 Nao wote wawili wakaenda mpaka walipofika Bethlehemu.+ Ikawa mara tu walipofika Bethlehemu, habari zao zikavuma kote jijini,+ nao wanawake wakauliza-uliza: “Je, huyu ni Naomi?”+
4 Na, tazama! Boazi akaja kutoka Bethlehemu na kuwaambia wavunaji: “Yehova na awe pamoja nanyi.”+ Nao wakamjibu: “Yehova na akubariki wewe.”+
2 Baada ya Yesu kuzaliwa katika Bethlehemu+ ya Yudea siku za Mfalme Herode,+ tazama! wanajimu+ kutoka sehemu za mashariki walikuja Yerusalemu,
42 Je, Andiko halijasema kwamba Kristo anakuja kutoka kwa uzao wa Daudi,+ na kutoka Bethlehemu+ kijiji ambako Daudi alikaa?”+