Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 13:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Je, si juu yenu kujua kwamba Yehova Mungu wa Israeli mwenyewe alimpa Daudi+ ufalme juu ya Israeli mpaka wakati usio na kipimo,+ kwake na kwa wanawe,+ kwa agano la chumvi?+

  • Zaburi 89:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 ‘Nitaufanya imara uzao wako mpaka wakati usio na kipimo,+

      Nami nitakijenga kiti chako cha ufalme+ kwa kizazi baada ya kizazi.’” Sela.

  • Zaburi 132:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova amemwapia Daudi,+

      Kwa kweli hataliacha:+

      “Kati ya uzao wa tumbo lako+

      Nitaweka juu ya kiti chako cha ufalme.+

  • Yeremia 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitamsimamishia Daudi chipukizi adilifu.+ Na hakika mfalme atatawala+ na kutenda kwa busara na kutenda haki na uadilifu katika nchi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki