5 Je, si juu yenu kujua kwamba Yehova Mungu wa Israeli mwenyewe alimpa Daudi+ ufalme juu ya Israeli mpaka wakati usio na kipimo,+ kwake na kwa wanawe,+ kwa agano la chumvi?+
5 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitamsimamishia Daudi chipukizi adilifu.+ Na hakika mfalme atatawala+ na kutenda kwa busara na kutenda haki na uadilifu katika nchi.+