9 Kisha mpaka huo ulitiwa alama kutoka kilele cha mlima hadi kwenye bubujiko la maji ya Neftoa,+ ukaenda kwenye majiji ya Mlima Efroni; na mpaka huo ulitiwa alama hadi Baala,+ yaani, Kiriath-yearimu.+
5 Basi Daudi akakusanya+ Israeli wote kuanzia mto wa Misri+ mpaka maingilio ya Hamathi,+ ili kulileta sanduku+ la Mungu wa kweli kutoka Kiriath-yearimu.+