20 Ndipo Lea akasema: “Mungu amenipa kipawa, ndiyo, kipawa chema. Mwishowe mume wangu atanivumilia,+ kwa sababu nimemzalia wana sita.”+ Basi akamwita jina lake Zabuloni.+
13 “Zabuloni atakaa kando ya bahari,+ naye atakuwa kando ya bahari ambapo meli hukaa zikiwa zimetia nanga;+ na sehemu yake ya mbali itakuwa kuelekea Sidoni.+