Mwanzo 29:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Basi Lea akapata mimba, akazaa mwana na kisha akamwita jina lake Rubeni,+ kwa maana alisema: “Ni kwa sababu Yehova ametazama taabu yangu,+ kwa kuwa sasa mume wangu ataanza kunipenda.” Zaburi 127:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tazama! Wana ni urithi kutoka kwa Yehova;+Uzao wa tumbo ni thawabu.+
32 Basi Lea akapata mimba, akazaa mwana na kisha akamwita jina lake Rubeni,+ kwa maana alisema: “Ni kwa sababu Yehova ametazama taabu yangu,+ kwa kuwa sasa mume wangu ataanza kunipenda.”