Mwanzo 30:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ndipo Lea akasema: “Mungu amenipa kipawa, ndiyo, kipawa chema. Mwishowe mume wangu atanivumilia,+ kwa sababu nimemzalia wana sita.”+ Basi akamwita jina lake Zabuloni.+ 1 Samweli 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na yule mke mwenzake alimsumbua+ mno pia hata kumfadhaisha kwa sababu Yehova alikuwa amefunga tumbo lake la uzazi. Luka 1:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Hivi ndivyo Yehova ameshughulika nami siku hizi wakati amenipa uangalifu wake ili kuondolea mbali shutuma yangu katikati ya watu.”+
20 Ndipo Lea akasema: “Mungu amenipa kipawa, ndiyo, kipawa chema. Mwishowe mume wangu atanivumilia,+ kwa sababu nimemzalia wana sita.”+ Basi akamwita jina lake Zabuloni.+
6 Na yule mke mwenzake alimsumbua+ mno pia hata kumfadhaisha kwa sababu Yehova alikuwa amefunga tumbo lake la uzazi.
25 “Hivi ndivyo Yehova ameshughulika nami siku hizi wakati amenipa uangalifu wake ili kuondolea mbali shutuma yangu katikati ya watu.”+