Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 8:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akawapiga Wamoabu+ pia na kuwapima kwa kamba, akiwalaza chini kwenye udongo, ili apime kamba mbili awaue, na kamba moja kamili ya kuwahifadhi hai;+ na Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi+ wa kuleta ushuru.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 18:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kisha akapiga Moabu, na Wamoabu+ wakawa watumishi wa Daudi wenye kuleta ushuru.+

  • Zaburi 108:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Moabu+ ni chungu changu cha kuoshea.+

      Nitatupa kiatu+ changu juu ya Edomu.+

      Nitapiga kelele za ushindi+ juu ya Ufilisti.”+

  • Zaburi 110:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Atatekeleza hukumu katikati ya mataifa;+

      Atafanya maiti zijae.+

      Hakika atamvunja vipande-vipande aliye kichwa juu ya nchi yenye hesabu kubwa ya watu.+

  • Yeremia 48:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 ‘Katika kivuli cha Heshboni wale wanaokimbia wamesimama tuli bila nguvu. Kwa maana hakika moto utatoka katika Heshboni,+ na mwali wa moto kutoka katikati ya Sihoni;+ nao utateketeza vipaji vya nyuso za Moabu na utosi wa kichwa cha wana wa ghasia.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki