2 Naye akawapiga Wamoabu+ pia na kuwapima kwa kamba, akiwalaza chini kwenye udongo, ili apime kamba mbili awaue, na kamba moja kamili ya kuwahifadhi hai;+ na Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi+ wa kuleta ushuru.+
45 ‘Katika kivuli cha Heshboni wale wanaokimbia wamesimama tuli bila nguvu. Kwa maana hakika moto utatoka katika Heshboni,+ na mwali wa moto kutoka katikati ya Sihoni;+ nao utateketeza vipaji vya nyuso za Moabu na utosi wa kichwa cha wana wa ghasia.’+