Yeremia 48:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 ‘Katika kivuli cha Heshboni, wale wanaokimbia wanasimama wakiwa wameishiwa na nguvu. Kwa maana moto utatoka HeshboniNa mwali wa moto utatoka katikati ya Sihoni.+ Utateketeza kabisa paji la uso wa MoabuNa fuvu la wana wa ghasia.’+
45 ‘Katika kivuli cha Heshboni, wale wanaokimbia wanasimama wakiwa wameishiwa na nguvu. Kwa maana moto utatoka HeshboniNa mwali wa moto utatoka katikati ya Sihoni.+ Utateketeza kabisa paji la uso wa MoabuNa fuvu la wana wa ghasia.’+