Hesabu 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nitamwona, lakini si sasa;Nitamtazama, lakini si hivi karibuni. Nyota+ itatoka kwa Yakobo,Na fimbo ya ufalme+ itainuka katika Israeli.+ Naye hakika atapasua paji la uso la Moabu+Na fuvu la kichwa la wana wote wa vurugu. Amosi 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa hiyo nitaishushia moto Moabu, Nao utateketeza kabisa minara ya Keriothi yenye ngome;+Moabu itakufa katika ghasia,Kwa kelele za vita, kwa mlio wa pembe.+
17 Nitamwona, lakini si sasa;Nitamtazama, lakini si hivi karibuni. Nyota+ itatoka kwa Yakobo,Na fimbo ya ufalme+ itainuka katika Israeli.+ Naye hakika atapasua paji la uso la Moabu+Na fuvu la kichwa la wana wote wa vurugu.
2 Kwa hiyo nitaishushia moto Moabu, Nao utateketeza kabisa minara ya Keriothi yenye ngome;+Moabu itakufa katika ghasia,Kwa kelele za vita, kwa mlio wa pembe.+