Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 21:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa maana Heshboni lilikuwa jiji la Sihoni.+ Yeye alikuwa mfalme wa Waamori,+ naye ndiye aliyepigana na mfalme wa Moabu zamani na kuichukua nchi yake yote kutoka mkononi mwake mpaka Arnoni.+

  • Kumbukumbu la Torati 2:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Ndipo nikatuma wajumbe kutoka katika nyika ya Kedemothi+ mpaka kwa Sihoni+ mfalme wa Heshboni wakiwa na maneno ya amani,+ na kusema,

  • Yoshua 13:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 na majiji yote ya nchi tambarare ya juu+ na ufalme wote wa Sihoni mfalme wa Waamori, aliyetawala katika Heshboni,+ na ambaye Musa alimpiga na kumuua,+ pamoja na wakuu wa Midiani, Evi na Rekemu na Suri na Huru na Reba,+ watawala wadogo wa Sihoni, waliokuwa wakikaa katika nchi hiyo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki