21 na majiji yote ya nchi tambarare ya juu+ na ufalme wote wa Sihoni mfalme wa Waamori, aliyetawala katika Heshboni,+ na ambaye Musa alimpiga na kumuua,+ pamoja na wakuu wa Midiani, Evi na Rekemu na Suri na Huru na Reba,+ watawala wadogo wa Sihoni, waliokuwa wakikaa katika nchi hiyo.