Yoshua 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi Yoshua alikuwa mzee, amesonga katika miaka.+ Kwa hiyo Yehova akamwambia: “Wewe mwenyewe umezeeka na kusonga katika miaka, na sehemu kubwa ya nchi bado haijamilikiwa.+ Yoshua 23:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mtu mmoja tu kati yenu atafukuza elfu,+ kwa maana Yehova Mungu wenu ndiye anayewapigania ninyi,+ kama vile ambavyo amewaahidi ninyi.+
13 Basi Yoshua alikuwa mzee, amesonga katika miaka.+ Kwa hiyo Yehova akamwambia: “Wewe mwenyewe umezeeka na kusonga katika miaka, na sehemu kubwa ya nchi bado haijamilikiwa.+
10 Mtu mmoja tu kati yenu atafukuza elfu,+ kwa maana Yehova Mungu wenu ndiye anayewapigania ninyi,+ kama vile ambavyo amewaahidi ninyi.+