Zaburi 35:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini walishangilia na kukusanyika pamoja kuhusu kuchechemea kwangu;+Walikusanyika pamoja dhidi yangu,+Wakinipiga na kuniangusha wakati sikujua;+Walinirarua vipande-vipande wala hawakukaa kimya.+ Methali 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Adui yako anapoanguka, usishangilie; naye anapokwazwa, moyo wako usiwe na shangwe,+
15 Lakini walishangilia na kukusanyika pamoja kuhusu kuchechemea kwangu;+Walikusanyika pamoja dhidi yangu,+Wakinipiga na kuniangusha wakati sikujua;+Walinirarua vipande-vipande wala hawakukaa kimya.+