Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 31:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa maana baada ya kugeuka kwangu nilihisi kujuta;+ na baada ya kujulishwa nililipiga paja kofi.+ Niliona aibu, na pia nikafedheheka,+ kwa maana nilikuwa nimechukua shutuma ya ujana wangu.’”+

  • Ezekieli 16:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na katika machukizo yako yote na matendo yako ya ukahaba hukukumbuka siku za ujana wako ulipokuwa uchi na tupu; ulikuwa ukitupatupa mateke katika damu yako.+

  • Ezekieli 16:60
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 60 Nami, mimi mwenyewe, nitalikumbuka agano langu pamoja nawe katika siku za ujana wako,+ nami nitakufanyia wewe agano lenye kudumu mpaka wakati usio na kipimo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki