19 Kwa maana baada ya kugeuka kwangu nilihisi kujuta;+ na baada ya kujulishwa nililipiga paja kofi.+ Niliona aibu, na pia nikafedheheka,+ kwa maana nilikuwa nimechukua shutuma ya ujana wangu.’”+
22 Na katika machukizo yako yote na matendo yako ya ukahaba hukukumbuka siku za ujana wako ulipokuwa uchi na tupu; ulikuwa ukitupatupa mateke katika damu yako.+
60 Nami, mimi mwenyewe, nitalikumbuka agano langu pamoja nawe katika siku za ujana wako,+ nami nitakufanyia wewe agano lenye kudumu mpaka wakati usio na kipimo.+