40 Nami nitafanya pamoja nao agano linalodumu mpaka wakati usio na kipimo,+ kwamba mimi sitageuka kutoka nyuma yao, ili niwatendee mema;+ nami nitatia ndani ya moyo wao hali ya kuniogopa mimi ili wasigeuke kando kutoka kwangu.+
5 Wataendelea kuuliza njia ya kwenda Sayuni, nyuso zao zikiwa zimeelekezwa upande huo,+ wakisema, ‘Njooni, tujiunge pamoja na Yehova katika agano ambalo halitasahauliwa, linalodumu mpaka wakati usio na kipimo.’+