Nehemia 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nami nikasema: “Ah, Yehova Mungu wa mbinguni, Mungu mkuu na mwenye kuogopesha,+ anayeshika agano+ na fadhili zenye upendo kuwaelekea wale wanaompenda+ na kushika amri zake,+ Zaburi 89:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Sitalitia unajisi agano langu,+Na maneno kutoka midomoni mwangu sitayabadili.+ Zaburi 105:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Amelikumbuka agano lake mpaka wakati usio na kipimo,+Neno ambalo aliamuru, mpaka vizazi elfu,+
5 Nami nikasema: “Ah, Yehova Mungu wa mbinguni, Mungu mkuu na mwenye kuogopesha,+ anayeshika agano+ na fadhili zenye upendo kuwaelekea wale wanaompenda+ na kushika amri zake,+