Malaki 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Kwa maana mimi ni Yehova; sikubadilika.+ Nanyi ni wana wa Yakobo; hamjafikia mwisho wenu.+ Yakobo 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kila zawadi njema+ na kila tuzo kamilifu hutoka juu,+ kwa maana hushuka kutoka kwa Baba wa mianga ya mbinguni,+ naye habadiliki, kama kugeuka kwa kivuli.+
17 Kila zawadi njema+ na kila tuzo kamilifu hutoka juu,+ kwa maana hushuka kutoka kwa Baba wa mianga ya mbinguni,+ naye habadiliki, kama kugeuka kwa kivuli.+