44 Na hata hivyo pamoja na yote hayo, huku wakiendelea kukaa katika nchi ya adui zao, hakika sitawakataa+ wala kuwachukia+ ili kuwaangamiza, na kulivunja agano+ langu pamoja nao; kwa maana mimi ni Yehova Mungu wao.
21 vivyo hivyo agano langu linaweza kuvunjwa pamoja na Daudi mtumishi wangu+ ili asiwe na mwana anayetawala akiwa mfalme juu ya kiti chake cha ufalme;+ pia pamoja na makuhani, Walawi, wahudumu wangu.+