13 Wakumbuke Abrahamu, Isaka na Israeli watumishi wako, uliowaapia kwa jina lako mwenyewe,+ kwa kuwa uliwaambia, ‘nitauzidisha uzao wenu kama nyota za mbinguni,+ nayo nchi hii yote ambayo nimeichagua, nitaupa uzao+ wenu, ili kwa kweli wapate kuimiliki mpaka wakati usio na kipimo.’”+