Mwanzo 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo Yehova akamtokea Abramu na kusema: “Nitaupa uzao wako+ nchi hii.”+ Baada ya hayo akajenga madhabahu huko kwa ajili ya Yehova, aliyekuwa amemtokea. Kutoka 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mwishowe Mungu akasikia+ kuugua+ kwao naye Mungu akalikumbuka agano lake pamoja na Abrahamu, Isaka na Yakobo.+ Kumbukumbu la Torati 4:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa maana Yehova Mungu wako ni Mungu mwenye rehema.+ Hatakutupa wala kukuharibu wala kulisahau agano+ la mababu zako ambalo aliwaapia. Zaburi 106:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Naye akalikumbuka agano lake juu yao,+Naye akajuta kulingana na wingi wa fadhili zake kuu zenye upendo.+ Luka 1:72 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 72 kufanya rehema kuhusiana na mababu zetu na kulikumbuka agano lake takatifu,+
7 Ndipo Yehova akamtokea Abramu na kusema: “Nitaupa uzao wako+ nchi hii.”+ Baada ya hayo akajenga madhabahu huko kwa ajili ya Yehova, aliyekuwa amemtokea.
24 Mwishowe Mungu akasikia+ kuugua+ kwao naye Mungu akalikumbuka agano lake pamoja na Abrahamu, Isaka na Yakobo.+
31 Kwa maana Yehova Mungu wako ni Mungu mwenye rehema.+ Hatakutupa wala kukuharibu wala kulisahau agano+ la mababu zako ambalo aliwaapia.
45 Naye akalikumbuka agano lake juu yao,+Naye akajuta kulingana na wingi wa fadhili zake kuu zenye upendo.+