17 hakika nitakubariki nami nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni na kama chembe za mchanga zilizo kando ya bahari;+ na uzao wako utamiliki lango la adui zake.+
4 ‘Nami nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni. Nami nitaupa uzao wako nchi zote hizi;+ na kupitia uzao wako mataifa yote ya dunia yatajibariki,’+
11 Tena Mungu akamwambia: “Mimi ni Mungu Mweza-Yote.+ Zaa uongezeke. Mataifa na kutaniko la mataifa yatatoka ndani yako, na wafalme watatoka viunoni mwako.+