Mwanzo 28:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na, tazama! Yehova alikuwa amesimama juu yake, naye akaanza kusema:+ “Mimi ni Yehova Mungu wa Abrahamu baba yako na Mungu wa Isaka.+ Nchi ambayo unalala juu yake, nitakupa wewe na uzao wako.+ Hesabu 32:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 ‘Wanaume waliotoka Misri kuanzia umri wa miaka 20 na zaidi+ hawatauona udongo ambao niliwaapia Abrahamu, Isaka na Yakobo,+ kwa sababu hawakunifuata kabisa,
13 Na, tazama! Yehova alikuwa amesimama juu yake, naye akaanza kusema:+ “Mimi ni Yehova Mungu wa Abrahamu baba yako na Mungu wa Isaka.+ Nchi ambayo unalala juu yake, nitakupa wewe na uzao wako.+
11 ‘Wanaume waliotoka Misri kuanzia umri wa miaka 20 na zaidi+ hawatauona udongo ambao niliwaapia Abrahamu, Isaka na Yakobo,+ kwa sababu hawakunifuata kabisa,