Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 17:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ee Yehova, tumaini la Israeli,+ wale wote wanaokuacha watapatwa na aibu.+ Wale wanaoniasi+ wataandikwa katika mavumbi, kwa sababu wameiacha chemchemi ya maji yaliyo hai, Yehova.+

  • Ezekieli 47:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Naye akanirudisha hatua kwa hatua mpaka kwenye mlango wa ile Nyumba,+ na, tazama! kulikuwa na maji+ yaliyokuwa yakitoka chini ya kizingiti cha Nyumba hiyo upande wa mashariki,+ kwa maana upande wa mbele wa Nyumba ulikuwa mashariki. Nayo maji hayo yalikuwa yakishuka kutoka chini, kutoka upande wa kuume wa Nyumba hiyo, upande wa kusini wa madhabahu.

  • Yoeli 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Na itakuwa siku hiyo kwamba milima itatiririka divai tamu,+ na vilima vitatiririka maziwa, na sakafu za vijito vya Yuda zitatiririka maji. Na katika nyumba ya Yehova bubujiko litatoka,+ nalo litamwagilia maji bonde la mto la Mishita.+

  • Ufunuo 22:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Naye akanionyesha mto wa maji ya uzima,+ mwangavu kama fuwele, ukitiririka kutoka katika kiti cha ufalme cha Mungu na cha Mwana-Kondoo+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki