10 Yesu akajibu, akamwambia: “Kama ungalijua zawadi+ ya bure inayotoka kwa Mungu, na ni nani+ ambaye anakuambia, ‘Nipe maji ninywe,’ ungalimwomba, naye angalikupa maji yaliyo hai.”+
6 Naye akaniambia: “Yamekuwa! Mimi ndiye Alfa na Omega, mwanzo na mwisho.+ Kwa yeyote aliye na kiu mimi nitampa maji bure kutoka kwenye chemchemi ya maji ya uzima.+
17 Na roho+ na bibi-arusi+ huendelea kusema: “Njoo!” Na yeyote anayesikia na aseme: “Njoo!”+ Na yeyote anayeona kiu aje;+ yeyote anayetaka achukue maji ya uzima bure.+