Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 4:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yesu akajibu, akamwambia: “Kama ungalijua zawadi+ ya bure inayotoka kwa Mungu, na ni nani+ ambaye anakuambia, ‘Nipe maji ninywe,’ ungalimwomba, naye angalikupa maji yaliyo hai.”+

  • Ufunuo 21:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye akaniambia: “Yamekuwa! Mimi ndiye Alfa na Omega, mwanzo na mwisho.+ Kwa yeyote aliye na kiu mimi nitampa maji bure kutoka kwenye chemchemi ya maji ya uzima.+

  • Ufunuo 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na roho+ na bibi-arusi+ huendelea kusema: “Njoo!” Na yeyote anayesikia na aseme: “Njoo!”+ Na yeyote anayeona kiu aje;+ yeyote anayetaka achukue maji ya uzima bure.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki