6 Kuanzia wayo wa mguu mpaka kwenye kichwa hakuna mahali pasipo na kasoro.+ Majeraha na machubuko na mapigo ya hivi karibuni—hayakufinywa yatoe usaha wala kufungwa, wala kulainishwa kwa mafuta.+
25 Nami nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa safi;+ nami nitawasafisha ninyi kutokana na uchafu+ wenu wote na kutokana na sanamu zenu zote za mavi.+
38 Petro akawaambia: “Tubuni,+ na acheni kila mmoja wenu abatizwe+ katika jina+ la Yesu Kristo kwa msamaha+ wa dhambi zenu, nanyi mtapokea zawadi ya bure+ ya roho takatifu.