12 Lakini walipomwamini Filipo, aliyekuwa akitangaza habari njema ya ufalme wa Mungu+ na juu ya jina la Yesu Kristo, wakabatizwa, wanaume na pia wanawake.+
8 Lakini Krispo+ ofisa-msimamizi wa sinagogi akawa mwamini katika Bwana, na ndivyo na watu wote wa nyumba yake. Na wengi kati ya Wakorintho waliosikia wakaanza kuamini na kubatizwa.