2 Mambo ya Nyakati 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Bali nitachagua Yerusalemu+ ili jina langu liwe hapo, nami nitamchagua Daudi awe juu ya watu wangu Israeli.’+ Zaburi 48:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Yehova ni mkuu na wa kusifiwa sana+Katika jiji la Mungu wetu,+ katika mlima wake mtakatifu.+ Isaya 60:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Na wana wa wale wanaokutesa watakuja kwako, wakiwa wanainama;+ na wale wote wanaokuvunjia heshima watainama penye nyayo za miguu yako,+ nao watakuita wewe jiji la Yehova, Sayuni+ wa Mtakatifu wa Israeli.
6 Bali nitachagua Yerusalemu+ ili jina langu liwe hapo, nami nitamchagua Daudi awe juu ya watu wangu Israeli.’+
14 “Na wana wa wale wanaokutesa watakuja kwako, wakiwa wanainama;+ na wale wote wanaokuvunjia heshima watainama penye nyayo za miguu yako,+ nao watakuita wewe jiji la Yehova, Sayuni+ wa Mtakatifu wa Israeli.