12 Kwa maana, kwa kweli, ijapokuwa mnapaswa kuwa walimu+ kwa sababu ya wakati, ninyi mnahitaji tena mtu awafundishe tangu mwanzo mambo ya msingi+ ya maneno matakatifu ya Mungu;+ nanyi mmekuwa kama wanaohitaji maziwa, si chakula kigumu.+
14 Lakini chakula kigumu ni cha watu wakomavu, cha wale ambao kwa kutumia, nguvu zao za ufahamu+ zimezoezwa kutofautisha yaliyo sawa na yaliyo makosa pia.+