10 Hawatakuwa na njaa,+ wala kuwa na kiu,+ wala joto kali na jua halitawaunguza.+ Kwa maana Yeye anayewahurumia atawaongoza,+ naye atawaelekeza karibu na mabubujiko ya maji.+
14 Naye akapewa utawala+ na heshima+ na ufalme,+ ili vikundi vyote vya watu, vya mataifa na lugha vimtumikie yeye.+ Utawala wake ni utawala unaodumu mpaka wakati usio na kipimo ambao hautapitilia mbali, na ufalme wake ni ufalme ambao hautaharibiwa.+
11 Lakini ninawaambia ninyi kwamba wengi kutoka sehemu za mashariki na sehemu za magharibi+ watakuja na kuketi kwenye meza pamoja na Abrahamu na Isaka na Yakobo katika ufalme+ wa mbinguni;+