Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 72:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kutakuwa na wingi wa nafaka duniani;+

      Juu ya milima kutakuwa na mafuriko.+

      Uzao wake utakuwa kama katika Lebanoni,+

      Na wale wa kutoka katika jiji watachanuka kama majani ya dunia.+

  • Zaburi 85:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ukweli utachipuka kutoka duniani,+

      Nao uadilifu utatazama chini kutoka mbinguni.+

  • Zaburi 85:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Pia, Yehova atatoa yaliyo mema,+

      Nayo nchi yetu wenyewe itatoa mazao yake.+

  • Zaburi 104:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na divai ambayo hufanya moyo wa mwanadamu anayeweza kufa ushangilie,+

      Kuufanya uso ung’ae kwa mafuta,+

      Na mkate unaotegemeza moyo wa mwanadamu anayeweza kufa.+

  • Yeremia 31:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nao hakika watakuja na kupiga vigelegele vya shangwe juu ya kilele cha Sayuni+ na kung’aa kwa sababu ya wema wa Yehova,+ kwa sababu ya nafaka na kwa sababu ya divai+ mpya na kwa sababu ya mafuta na kwa sababu ya watoto wa kundi na ng’ombe.+ Na nafsi yao itakuwa tu kama bustani iliyonyweshwa maji vizuri,+ nao hawatakuwa dhaifu tena.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki