Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 31:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitaipanda nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda uzao wa mwanadamu na uzao wa mnyama wa kufugwa.”+

  • Hosea 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nami hakika nitampanda yeye duniani kama mbegu kwa ajili yangu,+ nami nitamwonyesha rehema yeye ambaye hakuonyeshwa rehema,+ nami nitawaambia wale ambao si watu wangu: “Ninyi ni watu wangu”;+ wao nao watasema: “Wewe ni Mungu wangu.” ’ ”+

  • Mika 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Na mabaki ya Yakobo+ watakuwa katikati ya makabila mengi ya watu kama umande kutoka kwa Yehova,+ kama manyunyu mengi ya mvua juu ya mimea,+ ambayo hayamtumaini mwanadamu wala kuwangojea wana wa mtu wa udongo.+

  • Matendo 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hata hivyo, wale waliokuwa wametawanywa wakapita katika nchi wakitangaza habari njema ya lile neno.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki