Kumbukumbu la Torati 32:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mafundisho yangu yatatiririka kama mvua,+Maneno yangu yatadondoka kama umande,+Kama mvua ya rasharasha juu ya majani+Na kama manyunyu mengi juu ya mimea+ Zaburi 110:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Watu wako+ watajitoa kwa hiari+ katika siku ya jeshi lako.+Katika fahari za utakatifu,+ kutoka tumbo la uzazi la mapambazuko,Una kundi lako la vijana kama matone yaumande.+
2 Mafundisho yangu yatatiririka kama mvua,+Maneno yangu yatadondoka kama umande,+Kama mvua ya rasharasha juu ya majani+Na kama manyunyu mengi juu ya mimea+
3 Watu wako+ watajitoa kwa hiari+ katika siku ya jeshi lako.+Katika fahari za utakatifu,+ kutoka tumbo la uzazi la mapambazuko,Una kundi lako la vijana kama matone yaumande.+