Ayubu 29:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Baada ya neno langu hawakusema tena,Na neno langu lilidondoka juu yao.+ Isaya 55:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana kama vile mvua inayonyesha hushuka, na theluji, kutoka mbinguni nayo hairudi mahali pale, mpaka kwa kweli iwe imeinywesha dunia na kuifanya izae na kuchipuka,+ na mbegu kweli iwe imepewa mpandaji na mkate kupewa anayekula,+
10 Kwa maana kama vile mvua inayonyesha hushuka, na theluji, kutoka mbinguni nayo hairudi mahali pale, mpaka kwa kweli iwe imeinywesha dunia na kuifanya izae na kuchipuka,+ na mbegu kweli iwe imepewa mpandaji na mkate kupewa anayekula,+