Zaburi 65:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Umeielekezea dunia fikira zako, ili uipatie wingi;+Unaitajirisha sana.Kijito kinachotoka kwa Mungu kimejaa maji.+Wewe unatayarisha nafaka yao,+Kwa maana hivyo ndivyo unavyoitayarisha dunia.+ Isaya 30:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Naye hakika ataleta mvua kwa ajili ya mbegu yako unayoipanda katika udongo,+ na mkate kuwa mazao ya udongo, ambao utakuwa mnono na wenye mafuta.+ Mifugo yako italisha katika siku hiyo katika malisho mapana.+
9 Umeielekezea dunia fikira zako, ili uipatie wingi;+Unaitajirisha sana.Kijito kinachotoka kwa Mungu kimejaa maji.+Wewe unatayarisha nafaka yao,+Kwa maana hivyo ndivyo unavyoitayarisha dunia.+
23 Naye hakika ataleta mvua kwa ajili ya mbegu yako unayoipanda katika udongo,+ na mkate kuwa mazao ya udongo, ambao utakuwa mnono na wenye mafuta.+ Mifugo yako italisha katika siku hiyo katika malisho mapana.+