Methali 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ghadhabu ya mfalme ni mngurumo kama ule wa mwana-simba mwenye manyoya shingoni,+ lakini nia yake njema ni kama umande juu ya majani.+ Hosea 14:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nitakuwa kama umande kwa Israeli.+ Atachanua kama yungiyungi, na kueneza mizizi yake kama mti wa Lebanoni.
12 Ghadhabu ya mfalme ni mngurumo kama ule wa mwana-simba mwenye manyoya shingoni,+ lakini nia yake njema ni kama umande juu ya majani.+
5 Nitakuwa kama umande kwa Israeli.+ Atachanua kama yungiyungi, na kueneza mizizi yake kama mti wa Lebanoni.