Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 14:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Lakini, tazama! jamii iliyoponyoka hakika itabaki ndani yake, wale wanaoletwa.+ Wana na mabinti, tazama! Wanawatokea ninyi, nanyi mtalazimika kuona njia yao na shughuli zao.+ Nanyi hakika mtafarijiwa juu ya msiba ambao nitakuwa nimeuleta juu ya Yerusalemu, naam, yote nitakayokuwa nimeleta juu yake.’ ”

  • Yoeli 2:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na itakuwa kwamba kila mtu anayeliitia jina la Yehova ataokoka;+ kwa maana katika Mlima Sayuni na katika Yerusalemu kutakuwako wale walioponyoka,+ kama vile ambavyo Yehova amesema, na kati ya waokokaji, ambao Yehova anaita.”+

  • Mika 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nami nitamfanya yeye aliyekuwa akichechemea awe mabaki,+ na yeye aliyekuwa ameondolewa mbali awe taifa lenye uwezo;+ na Yehova atatawala juu yao akiwa mfalme katika Mlima Sayuni, kutoka sasa na kuendelea mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Waroma 11:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi, kwa njia hiyo katika majira ya sasa kumetokea pia mabaki+ kulingana na kuchaguliwa+ ambako kunatokana na fadhili zisizostahiliwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki