22 Mwishowe Yehova hakuweza kuvumilia kwa sababu ya ubaya wa matendo yenu, kwa sababu ya machukizo ambayo mlikuwa mmefanya,+ na hivyo nchi yenu ikawa mahali palipoharibiwa na kitu cha kushangaza na laana, bila mkaaji, kama ilivyo leo hii.+
11 “Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema, ‘Piga makofi+ na kufanya vishindo kwa mguu wako, na kusema: “Ole wangu!” kwa sababu ya machukizo yote mabaya ya nyumba ya Israeli,+ kwa sababu wataanguka+ kwa upanga,+ kwa njaa+ na kwa tauni.
29 Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapoifanya nchi iwe mahame yenye ukiwa,+ naam, ukiwa, kwa sababu ya machukizo yote ambayo wamefanya.” ’+