Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 44:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mwishowe Yehova hakuweza kuvumilia kwa sababu ya ubaya wa matendo yenu, kwa sababu ya machukizo ambayo mlikuwa mmefanya,+ na hivyo nchi yenu ikawa mahali palipoharibiwa na kitu cha kushangaza na laana, bila mkaaji, kama ilivyo leo hii.+

  • Ezekieli 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema, ‘Piga makofi+ na kufanya vishindo kwa mguu wako, na kusema: “Ole wangu!” kwa sababu ya machukizo yote mabaya ya nyumba ya Israeli,+ kwa sababu wataanguka+ kwa upanga,+ kwa njaa+ na kwa tauni.

  • Ezekieli 7:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Sasa mwisho uko juu yako,+ nami nitaipeleka hasira yangu juu yako, nami nitakuhukumu kulingana na njia zako+ na kuleta juu yako machukizo yako yote.

  • Ezekieli 33:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapoifanya nchi iwe mahame yenye ukiwa,+ naam, ukiwa, kwa sababu ya machukizo yote ambayo wamefanya.” ’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki